KAGERA SUGAR, YANGA HAKUNA MBABE.

 

LIGI KUU ya NBC imerejea leo kwa mchezo mmoja uliopigwa kati ya kagera Sugar na Yanga katika uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera na kumalizika kwa suluhu.

Kwa matokeo haya Kagera Sugar inapanda kwa nafasi moja kutoka 14 hadi 13 baada ya kufikisha alama 14 kwenye michezo 14 huku Yanga ikiendelea kusalia nafasi ya 2 ikiwa na alama 31 kwenye michezo 12.

Ligi hiyo itaendelea tena kesho kwa mchezo mmoja kati ya Mashujaa na Simba kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma.

Start a Conversation

Your email address will not be published. Required fields are marked *