LIGI Kuu ya NBC inaendelea Leo kwa mchezo mmoja kuchezwa kati ya Simba na Azam “Mzizima Derby” kwenye uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza saa 10:00 alasiri.
Simba inaingia kwenye mchezo Huu ikiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo na alama 29 kwenye michezo 12 huku Azam ikiwa nafasi ya pili ikiwa na alama 31 kwenye michezo 13.
Ni kwa mara ya kwanza mchezo Huu wa Derby ndani ya Ligi Kuu ya NBC kupigwa katika mkoa wa Mwanza na fursa kwa wana Mwanza kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ndani ya ardhi yao kwani hakuna timu yoyote kutoka mwanza inayoshiriki ligi hiyo.
Azam fc is next but player of azam fc like Paris does no motivation of game