NBC PREMIER LEAGUE INATAKIWA KUREJEA HARAKA IWEZEKANAVYO KULINGANA NA MSONGAMANO WA MECHI ZA VIPORO Reply
Wazamini nbc mnapaswa kuendelea kuzamini hii ligi kwasababu imekuwa na ubora haswa mlivyo weka uzamini wenu I LIKE VERY MUCH THIS LEAGUE Reply
Yanga bingwa akuna zaidi yake ao makolo dabi lao na wauza alamba wanatembea na madeli wengine awatuwezi by malibiche bogota naipanga Reply
Yanga bingwa akuna zaidi yake ao makolo dabi lao na wauza alamba wanatembea na madeli wengine awatuwezi by malibiche bogota naipanga Reply
Iv simba wanaogopa kwel wanakimbia mechi aaah yanga punguzen sifa by shedrack pamoja xan bro shazil goto na all member of bogota Reply
Jamani ligi yetu nzuri na inavutia sana kwa sasa kwahy tunaomba vigezo vi zingatiwe ili kuendeleza ubola wa ligi yetu … Kazard mengi apa Reply
NBC PREMIER LEAGUE INATAKIWA KUREJEA HARAKA IWEZEKANAVYO KULINGANA NA MSONGAMANO WA MECHI ZA VIPORO
kombe ni lasimba
Good
I LIKE THIS LEAGUE
Me too 🤗
Soka letu dam dam!
Hivi hili kombe huwa halina fainali?
SINALO
Good
Latiba mnachelewa sana kutoa
Hongereni kwa kutoa ratiba japo kuwa imechelewa ila sio mbaya ratiba ipo ndani ya muda
Kipa aliefungwa goli nyingi NBC 24-25
Naombeni ratiba ya mechi za leo
Bonyeza kitufe Ligi husika utaona mechi zote
Naomba takwimu za diara kacheza mechi ngp na camara
Asanteni kwa ratiba anayoitoa daily.
asante tff kwa kutupangia ratiba nzuri
MARUDIO YANGA LEO
Mtachekwa
Ligi imekua ngumu sana haya ndio maendeleo ya ligi natumahi tutafanya vizuri sana
Nadhani saivi mpira wa bongo umeadvance sana
Simba atacheza lini caf champions ligi baada ya sifaeni
Wazamini nbc mnapaswa kuendelea kuzamini hii ligi kwasababu imekuwa na ubora haswa mlivyo weka uzamini wenu
I LIKE VERY MUCH THIS LEAGUE
yanga lazma 2chukue kombe tena kocha 2nae
hakika yanga bingwa
yanga bingwa KWAN NYIE HAMUOGOPI.?
Yanga bingwa
ubingwa ni wa ubaya ubwela
SIMBA BINGWA
simba lazima 2chukue kombe
Umwaka niwa niwasimba aumnasemaje watani
Naipenda yanga
Wewe kijana wewe kombe liko kwa yanga au simba halijatabilika kuwa kombe la nanani ndugu
BANCA TZ yanga ubingwa mwaka uhu lazima
Yanga bingwa akuna zaidi yake ao makolo dabi lao na wauza alamba wanatembea na madeli wengine awatuwezi by malibiche bogota naipanga
Yanga bingwa akuna zaidi yake ao makolo dabi lao na wauza alamba wanatembea na madeli wengine awatuwezi by malibiche bogota naipanga
Yanga bingwa
UBINGWA TAYARI NI WA YOUNG AFRICANS
Hao wengine ni wasindikizaji tu
Simba munakufa 3
Abar ya leo
Kwm
Iv simba wanaogopa kwel wanakimbia mechi aaah yanga punguzen sifa by shedrack pamoja xan bro shazil goto na all member of bogota
Jamani ligi yetu nzuri na inavutia sana kwa sasa kwahy tunaomba vigezo vi zingatiwe ili kuendeleza ubola wa ligi yetu … Kazard mengi apa