ALLIANCE, DAR CITY ZASALIA FIRST LEAGUE.

 

Michezo miwili ya Mtoano wa kushuka daraja imemalizika kwa timu za Alliance na Dar City kufanikiwa kubaki kwenye First League msimu ujao wa 2024/2025 baada ya matokeo ya jumla.

Timu za Alliance na Dar City zimefuzu baada ya michezo ya jana kumalizika na Dar City kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Alliance na kupita kwa matokeo ya jumla ya mabao 5-0 huku mchezo Kati ya Alliance na African Lyon ukimalizika kwa suluhu na Alliance kuvuka kwa Matokeo ya jumla 1-0.

Michezo ya kwanza ilichezwa Aprili 6, 2024 ambapo African Lyon iliialika Alliance kwenye uwanja wa mabatini na kumalizika kwa suluhu, mchezo mwingine ulizikutanisha Kurugenzi dhidi ya Dar City kwenye uwanja wa CCM Kambarage mkoani shinyanga.

Start a Conversation

Your email address will not be published. Required fields are marked *