AZAM FC YAKAA KILELENI NBCPL.

TIMU ya Azam imepanda mpaka nafasi ya kwanza katika msimamo wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kuifunga Prisons ya Mbeya kwa mabao 3-1.

Mabao ya Prince Dube, Iddy Selemani na Nathaniel Chilambo yameifanya Azam kushika nafasi ya kwanza na kuwa timu kinara wa kufunga mabao (7).

Ligi Kuu ya NBC itaendelea tena Agosti 29 kwa mchezo mmoja kati ya Yanga na JKT Tanzania utakaochezwa uwanja wa Azam Complex, Dar saa 1:00 usiku huku timu zote zikifanikiwa kushinda michezo yake ya kwanza msimu huu.

Start a Conversation

Your email address will not be published. Required fields are marked *