SIMBA, SINGIDA FG NI VITA YA LIGI KUU YA NBC NDANI YA MAPINDUZI CUP

 

KOMBE la Mapinduzi linaendelea leo visiwani Zanzibar kwa mchezo wa ‘miamba’ ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Simba na Singida Fountain Gate saa 2:15 katika uwanja wa New Amaan Complex.

Simba na Singida FG wapo Kundi B katika michuano hiyo ya Mapinduzi ambapo Simba ana alama 3 baada ya kucheza mchezo mmoja huku Singida FG akiwa na alama 6 baada ya kucheza michezo miwili na kushinda yote.

Mchezo huo unawakutanisha wawakilishi wawili kati ya wanne wa Ligi Kuu ya NBC katika Kombe hilo la Mapinduzi

Start a Conversation

Your email address will not be published. Required fields are marked *