LIGI KUU YA NBC NAMBA SITA KWA UBORA AFRIKA.

SHIRIKISHO la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) limetoa takwimu za Ligi bora duniani huku Ligi Kuu ya NBC Tanzania ikishika namba 6 barani Afrika.

Shirikisho hilo limetoa takwimu za ligi 100 ikijumuisha Bara la Afrika, Ulaya, Amerika ya Kusini, Amerika Kaskazini, Asia, Australia na Antaktiki huku Ligi Kuu ya NBC ikishika nafasi ya 62 Duniani.

Ligi Kuu ya NBC iliyokuwa nafasi ya tano mwaka jana imeshuka kwa nafasi moja mwaka huu barani Afrika ikiwa nyuma ya Misri, Morocco, Algeria, Tunisia na Afrika ya Kusini.

One comment

Join the Conversation

Your email address will not be published. Required fields are marked *