TAYARI mabao 286 yamefungwa hadi hivi sasa kwenye Ligi ya NBC Championship baada ya mizunguko 16 ya Ligi hiyo kukamilika.
TMA ndiyo timu iliyofungwa mabao machache hadi hivi sasa ikifungwa jumla ya mabao 5 katika michezo 16 waliyocheza.
Ken Gold na Pamba ndiyo wanafuatia kwa kufungwa mabao machache wakifungwa mabao 10 kila mmoja kwenye michezo 16 waliyocheza.
Ruvu Shooting ndiyo timu iliyoruhusu mabao mengi zaidi wakiruhusu jumla ya mabao 34 kwenye michezo 16 waliyocheza