HATUA ya nusu fainali ya kombe la Mapinduzi inamalizika leo januari 10 kwa mchezo kati ya Singida FG na Simba saa 2:15 kwenye uwanja wa New Amaan Complex.
Singida imeingia hatua ya nusu fainali baada ya kuitoa Azam Katika hatua ya robo fainali huku Simba akiitoa Jamhuri.
Singida FG na Simba ndiyo wawakilishi pekee wa Ligi Kuu ya NBC waliobaki ndani ya michuano hii ya Mapinduzi baada ya Azam na Yanga kutolewa katika hatua ya robo faianali.
Singida
Singida fainali