TMA WABABE WA FIRST LEAGUE WANAOTESA NBC CHAMPIONSHIP.

 

Timu ya TMA yenye maskani yake Arusha inayoshiriki ligi ya NBC Championship imekua na mwanzo mzuri ndani ya ligi hiyo hadi hivi sasa huku ikishiriki ligi hiyo kwa msimu wa kwanza.

TMA ndio timu pekee kwenye Ligi ya NBC Championship ambayo haijapoteza mchezo wowote wa ligi hiyo hadi sasa.

Timu hiyo ambayo imepanda daraja msimu huu kutoka First League imekuwa na mwenendo mzuri baada ya kucheza jumla ya michezo tisa ikishinda michezo sita na kwenda sare michezo mitatu.

Start a Conversation

Your email address will not be published. Required fields are marked *